Sunday, June 9, 2013

DAKTARI ASAHAU PAMBA TUMBONI MWA MAMA ALIYEJIFUNGUA KWA UPASUAJI:ANGALIA VIDEO



Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake.

Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake hali ambayo imemsababishia maumivu chungu mzima. 

Beatrice Maganga na taarifa hiyo. 

No comments:

Post a Comment