Thursday, May 23, 2013

Wanafunzi 25 wa shule ya sekondari Mwimbi waswekwa mahabusu!

WANAFUNZI 25 wa Shule ya Sekondari Mwimbi Kata ya Mwimbi wanashikiliwa na Polisi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, wakituhumiwa kuteketeza kwa moto nyumba ya mkuu wao wa shule.

No comments:

Post a Comment