Katika picha chini juu ni mwanamke
anayefahahamika kwa jina la Jeo O'Shea,
kutoka Marekani. Miaka miwili iliyopita
aligundulika na ugonjwa wa kansa ya mifupa,
ambayo ilikua imeharibu mfupa mmoja katika
goti lake la mguu wa kulia.
Mwaka 2011 alifanyiwa upasuaji na kuondoa
sehemu hiyo ya mfupa iliyokua imeathirika na
saratani, lakini baada ya upasuaji akaja
kugundua kua anauwezo wa kuzungusha mguu
wake kwa nyuzi 180 bila ya kusikia maumivu.
Tazama video yake hapa chini jinsi
anavyozungusha mguu huo
anayefahahamika kwa jina la Jeo O'Shea,
kutoka Marekani. Miaka miwili iliyopita
aligundulika na ugonjwa wa kansa ya mifupa,
ambayo ilikua imeharibu mfupa mmoja katika
goti lake la mguu wa kulia.
Mwaka 2011 alifanyiwa upasuaji na kuondoa
sehemu hiyo ya mfupa iliyokua imeathirika na
saratani, lakini baada ya upasuaji akaja
kugundua kua anauwezo wa kuzungusha mguu
wake kwa nyuzi 180 bila ya kusikia maumivu.
Tazama video yake hapa chini jinsi
anavyozungusha mguu huo
No comments:
Post a Comment